13 Unapaswa kuingia katika uzima wa kweli kupitia lango lililo jembamba. Kwa kuwa lango ni pana na njia inayoelekea katika uharibifu nayo ni pana na watu wengi wanaifuata njia hiyo. 14 Lakini lango la kuelekea katika uzima wa kweli ni jembamba. Na njia iendayo huko ni ngumu kuifuata. Na ni watu wachache wanaoiona.
Mathayo 7:13-14
One response to “The Narrow Road”
The Straight Path to eternal life is narrow and difficult. If you follow everyone else is doing you will not find this narrow path to Eternal life. Follow the words of Isa al Masih even none of your friends go this way. The way of the many leads to destruction