25 Ndipo Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga na wazito wa kuyakubali yale waliyoandika manabii. 26 Manabii waliandika kwamba Masihi lazima ateseke kwa mambo haya kabla hajaingia katika utukufu wa ufalme wake.” 27 Kisha akaanza kufafanua kila kitu walichosema manabii kuhusu yeye. Alianzia katika vitabu vya Musa na kusema yale waliyosema manabii kuhusu yeye.
Luka 24:25-27
One response to “Scriptures Foretell Messiah”
The disciples themselves were slow to believe what the Prophets wrote. It is harder even for us to believe this. But this is what the prophets plainly foretold. The Taurat and the prophets of Zabur predicted the suffering and death but then also the victory and resurrection of the Masih. Be a student of the prophets so that you may know the certainty of these things.